Nehemiah 10:34

34 a“Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mwenyezi Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.

Copyright information for SwhKC